Tafakari ya kufikirisha 211/366-2024

Pale tunapoona kushindwa ni kitu ambacho kinaweza kutokea wakati tunapiga hatua, hakuna haja ya kuogopa ya kushindwa. Tunaweza kuangalia kushindwa kama sehemu nyingine ya kujaribu, na hali ambayo inaweza kuwa ina majibu kwenye mafanikio yanayokuja.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *