Hakuna kukosea kwenye maisha bali ni somo.Hakuna hicho kitu kinachoitwa uzoefu hasi, bali ni fursa ya kukua, kujifunza na kupanda kwenye njia ya udhibiti binafsi. Hata maumivu yanaweza kuwa Mwalimu bora sana.
Tafakari ya kufikirisha 206/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply