Kila mmoja wetu ana upande wa giza na upande wa mwanga. Kila mmoja wetu kuna mapungufu ya kurekebisha na majeraha ya kuyaonyesha ili kuyaponya. Kila upande wa mtu kuna nyakati alikuwa na moyo ulioumia. Hali hii ya mapungufu ndio unaleta na kufanya hali ya ubinadamu Mwandishi Robin Sharma anatushirikisha jambo hili.
Tafakari ya kufikirisha 205/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply