Tafakari ya kufikirisha 201/366-2024

Haijalishi wengine wanaona nini,wewe kwenye kila hali na jambo ona fursa zaidi. Hata kama ni kitu ambacho wengine wanaona ni kibaya au kigumu,wewe ona fursa za kuweza kukitumia kwa manufaa zaidi. Hakuna kisichokuwa na fursa ndani yake,unapochagua kuzitafuta na kuwa tayari kuzitumia utaziona


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *