Haijalishi wengine wanaona nini,wewe kwenye kila hali na jambo ona fursa zaidi. Hata kama ni kitu ambacho wengine wanaona ni kibaya au kigumu,wewe ona fursa za kuweza kukitumia kwa manufaa zaidi. Hakuna kisichokuwa na fursa ndani yake,unapochagua kuzitafuta na kuwa tayari kuzitumia utaziona
Tafakari ya kufikirisha 201/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply