Chochote ulichojenga kwa kuwa wewe,kitaanguka vibaya pale utakapoacha kuwa wewe na kushawishika kuwa vile wengine wanavyotaka uwe. Na hivyo wanaokuzunguka na jamii wanataka uwe, namna wanavyotaka wao,pambana na kukataa hilo,ni vita utakayopigana maisha yako yote .
Tafakari ya kufikirisha 196/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply