Kama mtu anaweza kunishawishi na kunionesha kwamba nimekosea,nitafurahi na kuwa tayari kubadilika.Ukweli haujawahi kumuumiza yeyote, bali ujinga na kung’ang’a na mazoea kumeumiza wengi Mwanafalsafa Marcus Aurelius anatushirikisha jambo hili.
Tafakari ya kufikirisha 195/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply