Tafakari ya kufikirisha 195/366-2024

Kama mtu anaweza kunishawishi na kunionesha kwamba nimekosea,nitafurahi na kuwa tayari kubadilika.Ukweli haujawahi kumuumiza yeyote, bali ujinga na kung’ang’a na mazoea kumeumiza wengi Mwanafalsafa Marcus Aurelius anatushirikisha jambo hili.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *