Hakuna makosa kwenye maisha,bali ni kujifunza. Hakuna kitu ambacho kinaitwa uzoefu hasi, bali ni fursa ya kukua,kujifunza na kuelekea umahiri binafsi kwenye barabara ya kuwa imara. Kutoka kwenye kujitafuta na kuwa imara.Hata maumivu yanaweza kuwa mafundisho tosha Mwandishi Brian Tracy anatushirikisha jambo hili.
Tafakari ya kufikirisha 193/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply