Matendo ya hekima hutufuata maisha yetu yote. Hutuburudisha na kutusaidia. Hivyohivyo, matendo yasiyo na hekima hutufuata ili kutuumiza na kututesa. Sehemu kubwa ya mateso hayo huwa ni majuto juu ya mambo tuliyopaswa lakini hatukufanya.Majuto juu ya fursa zilizotutembelea lakini tukazipuuza.
Tafakari ya kufikirisha 192/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply