Maisha ni kama kupika kinachotakiwa ni kuanza tu vitu vingine vitajiunga vyenyewe kama vile kwenye mapishi kile chenye upungufu kama chumvi na viungo vingine vinaongezwa kadiri mapishi yanavyoendelea hivyohivyo kwenye maisha maarifa yeyote unayopata muhimu ni kuanza.
Tafakari ya kufikirisha 189/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply