Kila mtu anaweza kuwa na Hasira, ni kitu rahisi, lakini kuwa na mtu sahihi na wakati sahihi na lengo sahihi na kwa uelekeo sahihi hiyo haipo kwenye uwezo wa kila mtu na siyo kitu rahisi Mwanafalsafa Aristotle anatushirikisha jambo hili.
Tafakari ya kufikirisha 188/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply