Mtu mwema ni yule anayefanya jambo sahihi, na kuendelea kufanya jambo jingine sahihi badala ya kutangaza kwamba amefanya jambo zuri. Kama ambavyo nyuki hawatangazi wametengeneza asali tamu,tunapaswa kufanya wema siyo kwa ajili ya kuonekana au kujitangaza,bali kwa sababu ndiyo maisha tuliyochagua kuishi.
Tafakari ya kufikirisha 183/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply