Tafakari ya kufikirisha 177/366-2024

Maisha yana namna moja ukipaniki ndio unapigwa; kama uliibiwa ukiwa kijana au kutapeliwa ukiwa mtu mzima, usirudie makosa jifunze kwa makosa uliyopitia kwani kuna hali ya kupaniki ambayo walikuwekea ili waweze kutimiza lengo lao hilo.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *