Tafakari ya kufikirisha 172/366-2024

Tofauti kubwa kati ya vile tulivyo na vile tunavyoonekana kwenye jamii, ndio tofauti ya ufanisi wa maisha yetu jinsi yanavyofanya kazi. Na hapo pia ndiyo tunakuwa na furaha kiasi kidogo.Kwa nini? Kwa sababu hakuna furaha utaipata tukiwa tunajisaliti mwenyewe.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *