Tafakari ya kufikirisha 171/366-2024

Usifanye kitu kwa sababu tu umeshakubali kufanya au umekuwa unakifanya, bali fanya kitu kwa kutathmini kama ni muhimu na sahihi kwako kufanya.Usiogope kuvunja msimamo wako pale mambo yanapokwenda tofauti na ulivyotegemea.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *