Sumu ya furaha kwenye maisha ni kujilinganisha na wengine. Haijalishi umepiga hatua kiasi gani,kuna mtu amepiga hatua zaidi yako.Kama unayapima mafanikio yako kwa kuangalia wengine,mara zote utajiona hujafanikiwa.Ili kujenga furaha ya kudumu kwenye maisha yako,jitambue ,jikubali,jithamini na jiamini jinsi ulivyo.
Tafakari ya kufikirisha 166/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply