Sumu kubwa ya furaha kwenye maisha ni kujilinganisha na wengine.Haijalishi umepiga hatua kiasi gani, kuna mtu amepiga hatua zaidi yako. Kama unayapima mafanikio yako kwa kuangalia wengine, mara zote utajiona hujafanikiwa. Kama unataka kujenga mafanikio ya kudumu kwenye maisha yako, kamwe usijilinganishe na mtu mwingine yeyote, kwa sababu hakuna anayefanana na wewe hapa duniani.
Tafakari ya kufikirisha 164/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply