Tafakari ya kufikirisha 162/366-2024

Unyenyekevu ni kutambua kwamba siyo kila kitu kitakuja kwako kwa ambao unaoutaka.Wewe unapanga utakavyo lakini dunia inaenda inavyokwenda,haikuangalii wewe.Unyenyekevu ni kupokea matokeo unayopata na kisha kuyatumia kwa namna ambayo ni bora zaidi. Siyo kulalamika kwa sababu hujapata unachotaka au kukata tamaa kwa sababu matokeo yamekuja tofauti na ulivyopanga,


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *