Hakuna makosa kwenye maisha,bali ni masomo. Hakuna kitu hicho kinachoitwa uzoefu hasi, bali ni fursa ya ukuaji,kujifunza na kusonga mbele kwenye safari ya ukomavu. Kutoka kwenye kupambana unapata ujasiri.Hata maumivu yanaweza kuwa Mwalimu bora.
Tafakari ya kufikirisha 159/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply