Tafakari ya kufikirisha 157/366-2024

Kama mtu hawezi kukuzuia kufanya kitu sahihi hawawezi kukuzuia kuwa mtu mwema na kuwa Imara kifikra na matendo kuhusu wengine hivyo mara zote hakikisha unatenda mambo yaliyo mema mwafalsafa Marcus Aurelius anasisitiza jambo hili.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *