Mambo mengi unayofanyiwa kwenye maisha ni yale ambayo unavumilia kile ambacho watu wanakuletea au kukupa mfano mtu akikusemea neno baya na ukamuambia haujajisikia vizuri anaweza asirudie tena lakini usipomuambia anaweza kurudia tena.
Tafakari ya kufikirisha 156/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply