Tafakari ya kufikirisha 156/366-2024

Mambo mengi unayofanyiwa kwenye maisha ni yale ambayo unavumilia kile ambacho watu wanakuletea au kukupa mfano mtu akikusemea neno baya na ukamuambia haujajisikia vizuri anaweza asirudie tena lakini usipomuambia anaweza kurudia tena.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *