Tone la maji likidondoka mara moja halina maana lakini likijirudiarudia linavunja mwamba,kwa hiyo kitu chochote ukifanya bila kuacha na kurudiarudia kitakuwa na matokeo makubwa baada ya muda kama vile maji yanavyovunja mwamba.
Tafakari ya kufikirisha155/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply