Moja ya sheria ya asili ambayo inaendesha dunia ni kwamba ukiweka umakini kwenye vitu usivyovitaka kwenye maisha, unazuia vitu unavyovitaka kuvipata.Kile unachoweka muda mwingi kwenye kitu hicho kinakuwa kwenye maisha yako. Usiweke nguvu kwenye vitu usivyopenda kuliko unavyopenda kwani vitakuingia vitu hivyo bali pambania vile ambavyo unavitaka na vitakuja kwako.
Tafakari ya kufikirisha 142/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply