Wafanyie watu vile ambavyo unapenda wewe kufanyiwa kama unapenda kutiwa Moyo, kukubalika, kusamehewa, kusikilizwa na kueleweka na wewe wafanyie watu kitu hicho pia by John Maxwell anatushirikisha kwenye kitabu cha Kuwa mtu wa watu,mfano kama mtu amepata tatizo fulani ndio maana unaambiwa ujiambie vile ambavyo umekuwa unawaambia watu hao pia kwenye tatizo kama hilo.
Tafakari ya kufikirisha 131/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply