Chochote ambacho tunakifikiria katika ubongo wetu na kuulisha ubongo wetu na kukirudiarudia na hisia kuna siku moja kitakuja kuwa kweli mfano hata matukio ambayo yanatokea kwenye jamii ukifuatilia mtu huyo alikuwa anatamka tamka jambo hilo siku moja analitekeleza kweli Mwandishi Earl Nightingale anatushirikisha jambo hilo.
Tafakari ya kufikirisha 126/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply