Tafakari ya kufikirisha 119/366-2024

Kuna kitu kinaitwa fikra mfadhaiko mfano Watu wajinga wanafikiri kufanya mazoezi ni kitu kisicho na maana.Wakati wakiwa na afya njema,wanafikiri ni kitu ambacho hawakiitaji.Lakini wakiumwa,watafanya kwa namna yeyote ile Mwandishi Shiv Khera anatushirikisha huo ni mfano wa fikra mfadhaiko.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *