Uwekezaji ni kitu chepesi kwa sababu inatutaka sisi tuweke pembeni kiasi fulani cha fedha ili kiweze kukua kwa muda fulani.Lakini Uwekezaji ni kitu kigumu kwa sababu kinapingana na mahitaji ya asili ya Mwanadamu ya kutumia,kufurahi na kujiridhisha mahitaji haraka iwezekanavyo.
Tafakari ya kufikirisha 118/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply