Tafakari ya kufikirisha 107/366-2024

Mara nyingi tumekuwa tukiangalia dunia kwa nje na kusahau kwa ndani.Dunia kwa upande wake wa ndani ni bora kuliko upande wa nje.Tunaviona vitu siyo vile vilivyo bali sisi tulivyo.Kosa kubwa ni kuona kila kinachotunguka na kutojiona ndani yetu sisi wenyewe.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *