Tafakari ya kufikirisha 98/366-2024

Uwekezaji ni kitu chepesi kwa sababu inatutaka sisi tuweke pembeni kiasi fulani cha fedha au muda ili kitu kiweze kukua au kutokea.Lakini Uwekezaji ni kitu kigumu kwa sababu kinapingana na mahitaji ya asili ya Mwanadamu ya kutumia, kufurahi na kujiridhisha mahitaji haraka iwezekanavyo mwandishi Vinod Pottayil anatushirikisha jambo hili kwenye kitabu chake cha uwekezaji.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *