Kuna kitu kinaitwa fikra mfadhaiko mfano Watu wajinga wanafikiri kufanya mazoezi ni kitu kisicho na maana.Wakati wakiwa na afya njema wanafikiri ni kitu ambacho hawakiitaji.Lakini wakiumwa,watafanya kwa namna yeyote ile mwandishi Shiv Khera anatushirikisha kwenye kitabu chake unaweza kufanikiwa zaidi.
Tafakari ya kufikirisha 94/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply