Tafakari ya kufikirisha 92/366-2024

Hakuna urafiki bila kujiamini na hakuna kujiamini kama hakuna uadilifu, ndio maana kwenye urafiki wanasema kukopeshana kunaweza kupoteza urafiki maana yake mtu kama atashindwa kurudisha maana yake amepoteza uadilifu ambapo kutapelekea kukosa kujiamini kwa hiyo urafiki wowote msingi wake mkubwa ni uadilifu mwanafalsafa Samuel anatushirikisha jambo hili katika kudumisha mahusiano yetu.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *