Kuweka juhudi ni sehemu moja muhimu katika mafanikio. Na hilo ndilo eneo pekee ambalo una udhibiti nalo. Kuwa na subira ni eneo jingine muhimu sana kwenye safari ya mafanikio, eneo ambalo wengi huwa wanashindwa na mara nyingi hatuna udhibiti nalo kwenye muda matokeo yatakuja yenyewe kwa wakati.
Tafakari ya kufikirisha 88/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply