Tafakari ya kufikirisha 85/366-2024

Usiamini kila kila kitu unachokihisi.Siyo kila hisia ni za kweli. Usiamini kila kitu kitu unachokifikiria.Kwani siyo kila unachokifikiria ni cha kweli hivyo kwa chochote kile tunapaswa kujifunza zaidi na kukipima kitu hicho kabla ya kufanya maamuzi.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *