Usiamini kila kila kitu unachokihisi.Siyo kila hisia ni za kweli. Usiamini kila kitu kitu unachokifikiria.Kwani siyo kila unachokifikiria ni cha kweli hivyo kwa chochote kile tunapaswa kujifunza zaidi na kukipima kitu hicho kabla ya kufanya maamuzi.
Tafakari ya kufikirisha 85/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply