Kama itaishi muda mrefu lazima utafanya makosa.Lakini kama utajifunza kutokana na hayo makosa utakuwa mtu bora.Ni jinsi gani unakabiliana na matatizo na siyo jinsi gani yanakuathiri.Kitu kikubwa ni kutokata tamaa raisi Mstaafu wa Marekani Bill Clinton anatueleza jambo hilo kwa kina kukosea siyo tatizo bali ni sehemu ya kujifunza.
Tafakari ya kufikirisha 83/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply