Tafakari ya kufikirisha 70/366-2024

Hakuna mtu anayepata mafanikio kwa kufanya kila kitu ambacho anatakiwa kufanya pekee. Kiwango cha mbele zaidi ya kile ambacho unapaswa au unatakiwa kufanya ndio inawakilisha ubora kwa maana chochote ambavyo unafanya kwa juhudi za ziada kinaashiria ubora na mafanikio zaidi.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *