Njia bora ya kuifanya kesho yako kuwa bora ni kujua kitu gani kibaya ambacho umekifanya Leo na kujifanyia tathmini kwenye yale uliyoyafanya ili uweze kufanya kwa ubora zaidi siku inayofuata mwandishi nguli Robin Sharma anasisitiza zaidi katika kufanya tathmini kwa kila siku ambayo unaimaliza na hii itapelekea kuwa na siku nyingine bora zaidi.
Tafakari ya kufikirisha 66/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply