Tafakari ya kufikirisha 64/366-2024

Kile ambacho ukiwa na changamoto ya afya au ugonjwa unaambiwa usifanye ndio ambacho unatakiwa kufanya muda wote kama ukiumwa unaambiwa kula chakula chenye virutubisho vyote ndio vitu ambavyo unatakiwa kufanya mara zote, ukiambiwa unatakiwa kufanya mazoezi wakati unaumwa basi ndio kitu ambacho unapaswa kufanya mara zote ukiambiwa baadhi ya chakula uache au vinywaji fulani uache basi jua hicho ndio kitu ambacho unapaswa kufanya mara zote.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *