Uongozi wa kujitambua unahusisha kiongozi kupenda zaidi kujifunza kuliko kuamini yupo sahihi mara zote. Huu ni mtego mbaya kwenye Uongozi, kwa sababu watu wa chini hawataki kukuudhi, wanaweza kuona makosa unayofanya lakini wasikuambie, kama Kiongozi una tabia ya kuamia uko sahihi mara zote nukuu toka kwa Dr. Makirita Amani
Tafakari ya kufikirisha 44/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply