Wakatishaii tamaa wengi wana nia njema sana na wewe. Wanapokukatisha tamaa usifanye kitu, sio kwamba wanaona wivu ukikipata utakuwa umewazidi, japo kuna wa aina hiyo, bali wanaona unachokwenda kufanya kitakuumiza sana. Hivyo wanavyokukatisha tamaa ni kama wanajaribu kukulinda ili usiingie kwenye matatizo makubwa.
Tafakari ya kufikirisha 23/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply