Kuna wakati utaona kama umekwama,kuna wakati utaona haya mambo ya ushindi ni kama maigizo kwako. Kuna wakati utaona kila juhudi unayoweka haileti tofauti yoyote. Huu ndio wakati muhimu sana unapohitaji kujiamini kwa sababu bila hivyo utakata tamaa na ukikata tamaa ndio umejiondoa kwenye safari ya ushindi
Tafakari ya kufikirisha 18/366-2024
by
Tags:
Leave a Reply