Tafakari ya kufikirisha 12/366- 2024

Mahusiano ndio kila kitu. Kila kitu ulimwenguni ambacho kipo ni kwa sababu ya kinahusiana na kitu kingine. Hakuna kitu ambacho kipo kinajitegemea chenyewe. Tunatakiwa kuacha kuigiza tuko peke yetu na kwamba tutakwenda navyo vitu peke yetu by Margaret Wheatley


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *