Tafakari ya kufikirisha
Kuweka juhudi ni sehemu moja muhimu katika mafanikio. Na hilo ndilo eneo pekee ambalo una udhibiti nalo. Kuwa na subira ni eneo jingine muhimu sana kwenye safari ya mafanikio, eneo ambalo wengi ndiyo huwa wanashindwa. Kwenye chochote unachofanya, kama juhudi unazoweka ni sahihi, unahitaji ni subira tu, hakuna kingine chochote.
by
Tags:
Leave a Reply