Tafakari ya kufikirisha -02-2024

Pale unapoona watu wamepiga hatua fulani kwenye maisha yao, siyo kwa sababu ndiyo wamekuwa bora kuliko walivyokuwa huko nyuma.Bali wanakuwa fursa ya kudhihirisha uwezo mkubwa ambao tayari upo ndani yao. Ni asili ya Binadamu kwamba watu huwa hawabadiliki.Hivyo chochote unachokiona kama mabadiliko kwa mtu, ni anakuwa tu amechoka kuigiza na kuamua kuwa halisi kwao.Kumbuka hili mara zote na usishangazwe na watu

Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *