Tafakari ya kufikirisha

Hamasa inaanza na matamanio, hasa ya nje, yanayochochewa na wengine.
Lakini nidhamu inaanza na hasira ambazo mtu anakuwa nazo, kwa mabadiliko yanayotakiwa kufanyiwa kazi.
Nidhamu huwa inajengwa kwa matendo madogo madogo yasiyokuwa na madhara yoyote.
Kadiri unavyokuwa unafanya kwa juhudi kubwa chochote unachokuwa umepanga, ndivyo unavyozidi kuimarisha nidhamu yao ya ufanyaji.


Posted

in

by

Tags:

Comments

Leave a Reply

Your email address will not be published. Required fields are marked *